12 lines
631 B
Markdown
12 lines
631 B
Markdown
# Mfuniko wa upatanisho
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mfuniko wa upatanisho ulikuwa mfuniko wa dhahabu uliotumika kufunika juu ya sanduku la agano.
|
|
|
|
* Mfuniko wa agano ulikuwa na sentimeta 115 urefu na 70 upana.
|
|
* Juu ya mfuniko wa upatanisho kulikuwa na Makerubi wawili wa dhahabu wakiwa wameshika na mabawa yao.
|
|
* Yahweh alisema atakutana na Waisraeli juu ya mfuniko wa upatanisho chini ya mbawa za makerubi. Kuhani mkuu pekee ndiye aluyeruhusiwa kufanya hivyo na kuwawakilisha watu.
|
|
* Mara nyingine Mfuniko wa upatanisho ulijulikana kama kiti cha rehema kwa sababu Mungu alishuka na kuonesha rehema zake kwa watu wenye dhambi na kuwasamehe.
|
|
|