631 B
631 B
Mfuniko wa upatanisho
Ufafanuzi
Mfuniko wa upatanisho ulikuwa mfuniko wa dhahabu uliotumika kufunika juu ya sanduku la agano.
- Mfuniko wa agano ulikuwa na sentimeta 115 urefu na 70 upana.
- Juu ya mfuniko wa upatanisho kulikuwa na Makerubi wawili wa dhahabu wakiwa wameshika na mabawa yao.
- Yahweh alisema atakutana na Waisraeli juu ya mfuniko wa upatanisho chini ya mbawa za makerubi. Kuhani mkuu pekee ndiye aluyeruhusiwa kufanya hivyo na kuwawakilisha watu.
- Mara nyingine Mfuniko wa upatanisho ulijulikana kama kiti cha rehema kwa sababu Mungu alishuka na kuonesha rehema zake kwa watu wenye dhambi na kuwasamehe.