11 lines
514 B
Markdown
11 lines
514 B
Markdown
# Upatanisho, kulipia
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
"Upatanisho au kulipia" inaonesha ni jinsi gani Mungu alitoa sadaka ili kulipia dhambi za watu.
|
|
|
|
* Katika agano la kale Mungu aliruhusu upatanisho wa muda ufanyike kwa ajili ya utakaso wa dhambi za wana wa Israeli, ambapo ilitolewa sadaka ya damu iliyohusisha kuchinjwa kwa mnyama.
|
|
* Katika agano jipya kifo cha Kristo msalabani ni upatanisho wa pekee na wa kudumu kwa ondoleo la dhambi.
|
|
* Yesu alipokufa alichukua adhabu ya watu waliostahili adhabu ile kwa sababu ya dhambi.
|
|
|