514 B
514 B
Upatanisho, kulipia
Ufafanuzi
"Upatanisho au kulipia" inaonesha ni jinsi gani Mungu alitoa sadaka ili kulipia dhambi za watu.
- Katika agano la kale Mungu aliruhusu upatanisho wa muda ufanyike kwa ajili ya utakaso wa dhambi za wana wa Israeli, ambapo ilitolewa sadaka ya damu iliyohusisha kuchinjwa kwa mnyama.
- Katika agano jipya kifo cha Kristo msalabani ni upatanisho wa pekee na wa kudumu kwa ondoleo la dhambi.
- Yesu alipokufa alichukua adhabu ya watu waliostahili adhabu ile kwa sababu ya dhambi.