390 B
390 B
Kuasili
Ufafanuzi
Neno "kuasili" ni hatua za kisheria za mtoto kuwa na wazazi fulani ambao sio wazazi wake wa kumzaa.
- Biblia imetumia "kuasili" kuelezea namna ambavyo Mungu alivyosababisha watu kuwa sehemu ya familia yake, kuwafanya watu wawe watoto wake wa kiroho.
- Watoto walioasiliwa pamoja na waamini ni warithi pamoja na Yesu Kristo wakiwa na haki zote kama wana wa Mungu.