337 B
337 B
Neno la kweli
Ufafanuzi
"Neno la kweli" ni njia nyingine ya kuelezea neno la Mungu au mafundisho yake.
- Neno la kweli la Mungu ni pamoja na kilakitu ambacho Mungu anafundisha watu wake kuhusu yeye, uumbaji wake na mipango yake ya ukumbozi kupitia Yesu.
- Neno la kweli linasisitiza kuwa anachotuambia Mungu ni kweli na hakika.