509 B
509 B
Tembea
Ufafanuzi
Neno "tembea" mara nyingi hutumika ikiwa na maana ya "ishi."
- "Enoko alitembea na Mungu" inamaanisha kuwa "Enoko aliishi kwa kuwa na mahusiano ya ukaribu sana na Mungu."
- "Kutembea kwa roho" inamaanisha kuongozwa na Roho Mtakatifu ili kufanya mambo yanayomtukuza na kumpa heshima Mungu.
- Mungu anaposema atatembea kati ya watu wake inamaana kuwa anaishi kati yao au anahusiana nao kwa karibu.
- "Kutembea kinyume" inamaanisha kuwa kuishi au kufanya kinyume na mtu au kitu fulani.