313 B
313 B
si wa haki,
Ufafanuzi
Neno "si wa haki" ina maana ya wenye dhambi asiye na maadili.
- Haya maneno yana maana ya kuishi kwa namna inayo kosea mfundisho ya Mungu na amri.
- Watu ambao si wa haki hawana maadili katika fikra zao na matendo.
- Wakati mwingine "asiye wa haki" ueleza watu wasiyo mwamini Yesu.