416 B
416 B
tarumbeta
Ufafanuzi
Neno "tarumbeta" la eleza chombo cha kutoa mziki au kuita watu pamoka kwa mkutano au kikao.
- Tarumbeta lilitumika na chuma, kombe, au pembe la mnyama.
- Matarumbeta yalipigwa kuita watu kuja pamoja kwa pambano, na kukusanyika kwa Waisraeli.
- Kitabu cha Ufunuo kinaeleza tukio la mwisho wa nyakati ambapo malaika walipenga matarumbeta kuhashiria kumwagwa kwa ghadhabu ya Mungu duniani.