401 B
401 B
tetemeka
Ufafanuzi
Neno "tetemeka" lina maana ya kutikisika kwa hofu au msongamano wa mawazo.
- Hili utumika kifumbo kumaanisha "kuogopa sana"
- Wakati mwingine neno "tetemeka" la eleza ardhi kutikisika kwasababu ya kelele kubwa.
- Biblia ina sema katika uwepo wa Bwana dunia itatetemeka. Hii inaweza maanisha kwamba watu wa dunia watatikisika kwa hofu ya Mungu au dunia yenyewe itatikisika.