sw_tw/bible/other/trance.md

599 B

mpagao

Ufafanuzi

Mpagao ni hali ya fikra ambayo mtu yupo macho lakini hatambui yanayo mzunguka kwasababu anaona na kupitia vitu tofauti.

  • Katika Agano Jipya, hili neno linaeleza hali ya kimuujiza ya fikra amabyo Petro na Paulo walikuwa nayo Mungu alipo zungumza nao kwenye maono.
  • Katika kila hali, Petro na Paulo walikuwa katika maombi walipo patwa na mpagao.
  • Mungu ndiye aliye sababisha wawe katika mpagao.
  • Neno "mpagao" ni neno tofauti na "maono" au "ndoto" na itafsiriwe tofauti.
  • Msemo "kuanguka katika mpagao" ina maana "kuwa katika hali ya usingizi ghafla" wakati bado macho.