sw_tw/bible/other/thorn.md

636 B

mwiba, mbaruti

Ufafanuzi

Vicha vya miba na mbaruti ni majani matawi yaliyo chongoka au maua. Haya majani haya zalishi matunda au chochote kinacho tumika.

  • "Mwiba" ni mgumu, umechongoka katika tawi au jani. "Kichaka cha mwiba" ni aina ya mti mdogo mwenye miba mingi kwenye matawi yake.
  • "Mbaruti" ni mmea wenye majani yalichongoka. Mara nyingi majani yake ni ya zambarau.
  • Mwiba na mbaruti uota haraka na uweza shababisha mimea ya karibu kutostawi. Hii ni sura ya jinsi dhambi ina mzuia mtu kutozalisha matunda mazuri ya kiroho.
  • Taji lililo tengenzwa na matawi ya miba liliwekwa kwenye kichwa cha Yesu kabla ya kusulubiwa.