502 B
502 B
hema la kukutania
Ufafanuzi
Neno "hema la kukutania" la husu hema ambalo lilikuwa la muda mfupi Mungu alipo kutana na Musa kabla ya maskani kujengwa.
- Hema la kukutania lilikuwa nje ya kambi ya Waisraeli.
- Wakati Musa alipoenda kwenye hema ya kukutania kukutana na Mungu, nguzo ya wingu ilisimama katika mwingilio wa hema kama ishara ya uwepo wa Mungu hapo.
- Baada ya Waisraeli kujenga maskani, hema ya muda mfupi haiku hitajika tena na neno "hema la kukutania" lilitumika kueleza maskani.