sw_tw/bible/other/tenth.md

622 B

la kumi, zaka

Ufafanuzi

Maneno "la kumi" na "zaka" yanaeleza "asilimia ya kumi" au "moja-kati-ya -sehemu- ya-kumi" ya pesa, mazao, mifugo, au mali za mtu anazo mpa Mungu.

  • Katika Agano la Kale, Mungu aliwaelekeza Waisraeli kueka kando asilimia kumi ya mali zao kutoa kama sadaka ya shukurani kwake.
  • Hii sadaka ilitumika kufadhili kabila la Walawi wa Israeli waliyo tumikia Waisraeli kama makuhani na watunzi wa maskani na baadae, hekalu.
  • Katika Agano Jipya, Mungu haitaji asilimia kumi, lakini na waelekeza waamini kutoa kwa furaha na kwa hiari kusaidia watu wenye mahitaji na kufadhili huduma ya Kikristo.