534 B
534 B
kondoo, kondoo dume, kondoo jike
Ufafanuzi
"kondoo" ni mnyama wa saizi ya kati wa miguu minne mwenye manyoya mwili mzima.
- Waisraeli mara kadhaa walitumia kondoo kwa dhabihu, hususani dume na kondoo mdogo.
- Watu ula nyama ya kondoo na kutumia manyoya yake kufanya nguo na vitu vingine.
- Kondoo ni wa piole, dhahifu, na waoga. Wanashawishika haraka kupotea. Wanaitaji mchungaji kuwaongoza, kuwalinda, na kuwapa chakula, maji, na hifadhi.
- Katika Biblia, watu wanalinganishwa na kondoo waliyo na Mungu kama mchungaji wao.