591 B
591 B
Kivuli
Ufafanuzi
Neno "kivuli" lina maana ya giza linalo sababishwa na kitu kinacho ziba mwanga. Pia lina maana kadhaa ya mafumbo.
- "Kivuli cha mauti" ina maana kwamba kifo kipo karibu, kama vile kivuli kinavyo hashiria uwepo kitu.
- Mara nyingi katika Biblia, maisha ya mwanadamu yana linganishwa na kivuli, ambacho hakidumu muda mrefu sana na hakina kiini.
- Wakati mwingine, "kivuli" lina tumika kama neno lingine la "giza."
- Biblia inaongea kuhusu kujificha au kulindwa ndani ya kivuli cha mabawa ya Mungu au mikono. Hii ni picha ya kulindwa na kufichwa kutoka kwenye hatari.