sw_tw/bible/other/send.md

694 B

tuma, kutuma nje, kutumwa

Ufafanuzi

"Kutuma" ni kusababisha mtu au kitu kwenda sehemu. "Kutuma nje" mtu ni kumwambia huyu mtu kwenda na kufanya japo au shughuli.

  • Mara nyingi mtu anaye "tumwa nje" amechaguliwa kufanya kazi maalumu.
  • Maneno kama "tuma mvua" au "tuma janga" ina maana "kusababisha ...kuja." Aina hii ya msemo utumika kumuelezea Mungu akisababisha vitu kutokea.
  • Neno "tuma" pia la tumika katika msemo "tuma neno" au "tuma ujumbe" inayo maanisha kumpa mtu ujumbe ampe mtu mwingine.
  • "Kumtuma" mtu "na" inaweza maanisha "kumpa" hicho kitu "kwa" mtu mwingine.
  • Yesu mara nyingi utumia maneno "yeye aliye nituma" kumuelezea Mungu Baba aliye "mtu" duniani kuokoa watu.