702 B
702 B
mbegu, manii
Ufafanuzi
Mbegu ni sehemu ya mmea unao oteshwa kwenye ardhi kuzalisha aina moja zaidi ya mmea huo. Pia ina maana kadha ya mafumbo.
- Neno "mbegu" linatumika kwa fumbo na tafsida kuelezea seli ndogo ndani ya mwanaume au mwanamke zinazo jumuika kusababisha mtoto kukua ndani ya mwanamke, hii ina itwa manii.
- Pamoja na hii, "mbegu" inatumika kueleza uzao wa mtu.
- Neno hili lina maana ya wingi, likieleza zaidi ya mbegu moja au zaidi ya mzao mmoja.
- Katika mfano wa mkulima akipanda mbegu, Yesu alifananisha mbegu na Neno la Mungu lililo pandwa katika mioyo ya watu ilikuweza kuzalisha matunda mazuri ya kiroho.
- Mtume Paulo pia anatumia neno "mbegu" kumaanisha Neno la Mungu.