sw_tw/bible/other/scepter.md

657 B

fimbo ya kifalme

Ufafanuzi

Neno "fimbo ya kifalme" ina husu gongo zuri linalo shikiliwa na mtawala, kama mfalme.

  • Fimbo hizi zilikuwa tawi la mbao lenye mapindo ya mapambo. Baadae fimbo za kifalme zilitengenezwa kwa vyuma vya dhahabu.
  • Fimbo ya kifalme ilikuwa alama ya ufalme na mamlaka iliyo hashiria heshima na ukuu wa mfalme.
  • Katika Agano la Kale, Mungu anaelezwa kuwa na fimbo ya haki. Hii ina husu Mungu kutawala kama mfalme wa watu wake.
  • Unabii wa Agano la Kale kuhusu Mesiya unamueleza kuwa kama mfano wa fimbo ambayo itakuja kutoka Israeli kutawala mataifa yote.
  • Hii yaweza tafsiriwa kama, "gongo la utawala" au "gongo la mfalme."