sw_tw/bible/other/ruler.md

555 B

Mtawala, watawala, tawala

Ufafanuzi

"Mtawala" ni mtu mwenye mamlaka juu ya watu wengine kama vile kiongozi wa dini, ufalme au nchi.

  • Katika agano la kale Mfalme alitambulika kama Mtawala. Sentensi zingine zimesema "walimchagua yeye kuwa mtawala juu ya Israeli."
  • Mungu anazungumzwa kama mtawala mkuu anayetawala juu ya watawala wote.
  • Katika agano jipya kiongozi wa sinagogo aliitwa mtawala.
  • Aina nyingine ya mtawala katika agano jipya mi "gavana."
  • Kutegemeana na mukhtadha mtawala inaweza kutafsiriwa kama kiongozi au mtu mwenye mamlaka.