sw_tw/bible/other/ruin.md

458 B

Kuharibu

Ufafanuzi

Kuharibu kitu ni hali ya kuangamiza, kukiteketeza au kukifanya kisiwe na maana tena.

  • Nabii Zefania anazungumza juu ya siku ya ghadhabu ya Mungu kama "siku ya kuharibu" ambapo ulimwengu utahukumiwa na kuadhibiwa.
  • Katika kitabu cha Mithali kinasema kuharibu na kuteketeza kunawasubiri wale wasio na Mungu.
  • Kutegemeana na mukhtadha kuharibu yaweza kutafsiriwa kama "kuangamiza" au "kufanya isifae" au "kuvunja" au "uharibifu."