472 B
472 B
Komamanga
Ufafanuzi
Komamanga ni aina ya tunda nene lenye ngozi ngumu lililojaa mbegu nyingi ndani zilizozungukwa na chakula chenye rangi nyekundu.
- Komamanga mara nyingi huota katika nchi zenye joto, ukame kama Miisri na Israeli.
- Bwana aliwaahidi wa Israeli kuwa Kanaani ni chi yenye maji ya kutosha na ardhi yenye rutuba iliyo na vyakula vya kutosha ikiwemo makomamanga.
- Ujenzi wa hekalu la Sulemani lilikuwa na mapambo yaliyo katika muundo wa komamanga.