sw_tw/bible/other/pierce.md

534 B

Kutoboa

Ufafanuzi

"Kutoboa" ni kitendo cha kuchoma kitu kwa kutumia kitu chenye ncha. Pia hutumika kuelezea tendo la kusababisha maumivu makali ya kihisia kwa mtu.

  • Askari walimtoboa Yesu ubavuni alipokuwa msalabani.
  • Katika nyakati za Biblia mtumwa aliyeachiwa huru alitobolewa sikio kama ishara kuwa alichaguliwa kuendelea kufanya kazi kwa Bwana wake.
  • Simeoni anazungumza kwa lugha ya picha kumwambia maria kuwa upanga utatoboa moyo wake akimaanisha kuwa atapitia maumivu makali kwa kitakachotokea kwa Yesu mtoto wake.