612 B
612 B
Sadaka ya amani.
Ufafanuzi
Sadaka ya amani ilikuwa moja ya sadaka ambayo Mungu aliwaamuru Waisraeli watoe. Mara nyingine iliitwa sadaka ya shukrani au sadaka ya ushirika.
- Sadaka hii inajumuisha kutoa mnyama asiye na kasoro na kuinyunyuzia damu ya myama katika madhabahi na kuteketeza mafuta ya mnyama pamoja na vipande vya mnyama vilivyobaki kwa kutenganisha.
- Katika sadaka hii iliambatana na mkate wenye chachu na usiotiwa chachu ambayo iliteketezwa juu ya sadaka.
- Kuhani na mtoa sadaka waliruhusiwa kula chakula kilichotolewa kama sadaka.
- Sadaka hii ilionesha ushirika wa Mungu na watu wake.