494 B
494 B
Mtende
Ufafanuzi
"mtende" ni mti mrefu wenye matawi marefu, rahisi na yanayosambaa kutoka juu.
- Mti wa mtende kwenye Biblia umeelezewa kuwa ni mti unaotoa matunda yanayoitwa "tende." Majani yake yako kama manyoya.
- Miti ya mitende huota sehemu zilizo na joto na majani yake hubaki kuwa ya kujani mwaka mzima.
- Yesu alipoingia Yerusalemu akiwa juu ya punda, watu walitandika chini majani ya mitende mbele yake.
- Majani ya mitende yanaonesha ishara ya amani na kusherehekea ushindi.