316 B
316 B
mafuta
Ufafanuzi
Mafuta ni maji mazito yanayo chukuliwa kutoka kwenye mimea au matunda. Katika Biblia, mafuta yalito kwenye mizeituni.
- Mafuta ya mizeituni utumika kupika, kupaka, kutoa dhabihu, taa, na dawa.
- Zama za kale, mafuta ya mizeituni yalikuwa na gharama na kuwa na mafuta ni kipimo cha utajiri.