684 B
684 B
Taifa
Ufafanuzi
Taifa ni kundi kubwa la watu wanao tawaliwa na serikali. Watu wa taifa mara nyingi wa mababu sawa na ni wajamii moja.
- Neno "taifa" mara nyingi lina maana ya utamaduni ulifahamika vizuri na kuwa na mipaka ya eneo.
- Katika Biblia, "taifa" la weza kuwa nchi (kama Misri au Ethiopia) lakini wakatik mwingine ni kwa ujumla na uhusu kundi la watu, sana inapotumika katika wingi.
- Taifa katika Biblia ni Waisraeli, Wafilisti, Waasyria, Wababiloni, Wakanani, Warumi, Wayunani.
- Wakati mwingine neno "taifa" linatumika kifumbo kutaja mababu wa kundi la watu, kama Rebeka alivyo ambiwa na Mungu kuwa mtoto wake tumboni alikuwa ni "mataifa" watakao pigana wenywe.