350 B
350 B
siri, ukweli uliyo fichika
Ufafanuzi
Katika Biblia, neno "siri" la husu kitu kisicho julikana au kigumu kuelewa ambacho Mungu sasa anaelezea.
- Katika Agano Jipya linaeleza kuwa Kristo alikuwa siri ambayo haikujulikana awali.
- Katika ya vitu maalumu vinavyo julikana kama siri ni kwamba Wayahudi na Wamataifa watakuwa sawa ndani ya Kristo.