462 B
462 B
mshiriki
Ufafanuzi
Neno "mshiriki" la husu sehemu moja ya mwili au kundi.
- Agano Jipya la elezea Wakristo kama "washiriki" wa Mwili wa Kristo.
- Yesu Kristo ni "kichwa" wa mwili na waamini moja moja wanatumika kama washiriki wa mwili. Roho Mtakatifu anampa kila mshiriki wa mwili nafasi maalumu kusaidia mwili wote kufanya kazi vizuri.
- Watu wanao shiriki katika makundi kama Baraza la Wayahudi na Mafarisayo pia wanaitwa "washiriki" wa haya makundi.