sw_tw/bible/other/lampstand.md

399 B

kinara cha taa.

Ufafanuzi

Katika Biblia, usemi "kinara cha taa" kwa ujumla inamaanisha umbo ambapo taa inawekwa ili kutoa mwanga kwa chumba.

Kinara cha taa cha kawaida kilibeba taa moja na kilitengenezwa kwa udongo, mbao au chuma (kama shaba, fedha, au dhahabu.) Katika hekalu la Yerusalemu kulikuwa na kinara cha taa maalumu cha dhahabu kilichokuwa na matawi saba kwa kushikilia taa saba.