sw_tw/bible/other/humiliate.md

622 B

fedhehesha. fedheha

Ufafanuzi

Neno 'fedhehesha' lina maana ya kumfanya mtu aaibike au adhalilike. Hii ni kwasababu mara kwa mara hufanyika hadharani. Tendo la kumwaibisha mtu huitwa " fedheha." KIpindi ambacho Mungu humshusha mtu, humaanisha kwamba Mungu humfanya mtu apate mambo mabaya ili kumsaidia mtu aachane na kiburi. Hii ni tofauti na kumdhalilisha mtu, maana fedheha ni kitendo ambacho hufanywa ili kumuumiza mtu. Kumfedhehesha mtu yaweza kutafsiriwa kama 'kumwaibisha' au kumdhalilisha mtu. kuna njia nyingi za kutafsiri neno 'fedheha' kwa kutegemea na Muktadha. Maneno kama 'udhalilishaji' na aibu,''