sw_tw/bible/other/horse.md

516 B

Farasi

Ufafanuzi

Farasi ni mnyama mkubwa mwenye miguu minne ambaye katika kipindi cha Biblia alitumiak katika kufanya kazi za shambani na katika usafirishaji. Baadhi ya farasi walitumika katika kuvuta gari, na wengine walipandwa na mpanda farasi binafsi. Farasi walivalishwa hatamu katika vichwa vyao ili waweze kuongozwa Katika Biblia, farasi walihesabiwa kama mali ya thamani, na kipimo cha utajiri, hasa hasa kwa ajili ya matumizi yake katika vita. Wanyama walikuwa wanafanana na farasi ni punda.