sw_tw/bible/other/governor.md

575 B

gavana, kutawala, mtawala, serikali

Ufafanuzi

"Gavana" ni mtu anayetawala mkoa, eneo au mahali. Neno "kutawala" lina maana ya koungoza au kusimamia watu.

Msemo "mtawala" ilikuwa jina mahususi kwa gavana aliyetawala juu ya mkoa wa Kirumi.

Katika kipindi cha Biblia, magavana waliteuliwa na mfalme au mfalme mkuu na walikuwa chini ya mamlaka yake.

"Serikali" inaundwa na viongozi wote ambao wanatawala nchi au ufalme fulani. Watawala hawa hutengeza sheria ambazo huongoza tabia ya wanachi il kwamba kuwepo na amani, ulinzi, na mafanikio kwa watu wato wa taifa hilo.