sw_tw/bible/other/gossip.md

454 B

udaku

Ufafanuzi

Msemo "udaku" una maana ya watu kuzungumza juu ya masuala binafsi ya mtu mwingine, mara nyingi katika hali ya hasi na isiyo na faida. Mara nyingi kile kinachozungumzwa hakijathibitishwa kuwa kweli.

Biblia inasema ya kwamba kusambaza taarifa hasi kuhusu mtu ni kosa. Udaku na kashfa ni mifano ya aina hii ya kauli hasi.

Udaku ni wa madhara kwa mtu anayezungumzwa kwa sababu mara nyingi humuumiza uhusiano wa mtu na watu wengine.