sw_tw/bible/other/frankincense.md

428 B

ubani

Ufafanuzi

Ubani ni harufu nzuri ya kiungo kutoka kwenye mti wa utomvu. Inatumika kutengeneza manukato na udi.

Katika kipindi cha Biblia, ubani ilikuwa kiungo muhimu kilichotumika kuandaa maiti kwa maziko.

Kiungo hiki kilikuwa cha thamani kwa sifa zake za uponyaji na kutuliza.

Wanaume wasomi walipokuja kutoka nchi ya mashariki kumwona mtoto Yesu Bethlehemu, ubani ilikuwa moja ya zawadi tatu walizoleta kwake.