15 lines
467 B
Markdown
15 lines
467 B
Markdown
# Kujua kabla
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo "kujua kabla" unatokana na maana ya kujua jambo kabla halijatokea.
|
|
|
|
Mungu hazuiliwi na muda. Anajua kila kitu ambacho hutokea kipindi cha nyuma, sasa na baadaye.
|
|
|
|
Neno hili mara kwa mara hutumika katika muktadha ya Mungu kujua tayari nani ataokolewa kupitia kumpokea Yesu Kristo.
|
|
|
|
Mapendekezo ya Tafsiri
|
|
|
|
Msemo "kujua kabla" unaweza kutafsiriwa kama "kujua kabla" au "kujua kabla ya wakati" au "kujua kabla ya" au "kujua tayari".
|
|
|