sw_tw/bible/other/flute.md

505 B

filimbi, zumari

Ufafanuzi

Katika kipindi cha Biblia, zumari ilikuwa vyombo vya muziki iliyotengenezwa kwa mfupa au mbao na mashimo inayoruhusu sauti kutoka nje. Filimbi ilikuwa aina ya zumari.

Zumari nyingi ilikuwa na matete yaliyotengenezwa kutoka kwa nyasi nene ambayo hutikisika pale hewa inapopulizwa kwake.

Zumari bila matete mara kwa mara ilijulikana kama "filimbi".

Mfugaji alicheza filimbi kutuliza mifugo yao ya kondoo.

Zumari na filimbi ilitumika kucheza muziki wa huzuni na furaha.