13 lines
505 B
Markdown
13 lines
505 B
Markdown
# wavuvi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Wavuvi ni wanamume ambao hukamata samaki kutoka majini kama njia ya kupata pesa. Katika Agano Jipya, wavuvi walitumia mitego mikubwa kukamata samaki. Msemo "wavuvi" ni jina lingine la mvuvi.
|
|
|
|
Petro na mitume wengine walifanya kazi kabla ya kuitwa na Yesu.
|
|
|
|
Kwa kuwa nchi ya Israeli ilikuwa karibu na maji, Biblia ina kumbukumbu nyingi ya samaki na wavuvi.
|
|
|
|
Msemo huu unaweza kutafsiriwa na msemo kama "wanamume wanaokamata samaki" au "wanamume wanaopata pesa kwa kukamata samaki"
|
|
|