sw_tw/bible/other/doorpost.md

651 B

nguzo ya mlango

Ufafanuzi

"Nguzo ya mlango" ni mhimili ulio wima katika pande zote za mlango, ambao unategemeza kiunzi cha mlango cha juu.

Kabla tu Mungu hajawasaidia Waisraeli kutoroka kutoka Misri, aliwaelekeza kuua mwanakondoo na kuweka damu yake juu ya nguzo za milango.

Katika Agano la Kale, mtumwa aliyetamani kumtumikia bwana wake maisha yake yote aliweka sikio lake juu ya nguzo ya mlango wa nyumba ya bwana wake na msumari kupigiliwa katika sikio lake katika nguzo ya mlango.

Hii inaweza kutafsiriwa kama "nguzo ya mbao iliyo katika kila upande wa mlango" au "pande za viunzi vya mlango" au "nguzo za mbao zilizo pande za mlango".