sw_tw/bible/other/desolate.md

1.0 KiB

kuachwa, kuacha

Ufafanuzi

Msemo wa "kuachwa" na "kuacha" ina maana ya kuangamiza sehemu isiyokuwa na watu ili kwamba isiwe ya makazi.

Inapomaanisha mtu, msemo "kuachwa" inaelezea hali ya uharibifu, upweke, au majonzi.

Msemo "kuacha" ni hali ya kuachwa.

Iwapo shamba ambapo mimea inaota linaachwa, ina maana kitu kimeaangamiza mimea, kama wadudu au uvamizi wa jeshi.

"Eneo lilioachwa" lina maana ya eneo ya ardhi ambapo watu wachache wanaishi kwa sababu kuna mazao machache au mimea mingine inayoota pale.

"Ardhi iliyoachwa" au "nyika" mara kwa mara ilitengwa kwa watu waliotengwa na jamii (kama wakoma) na wanyama wa hatari.

Kama mji "unatengwa" ina maana ya kwamba majengo yake na mali vimeharibiwa au kuibiwa, na watu wake wameuwawa au kukamtwa. Mji unakuwa "tupu" na "kuharibika". Hii ni sawa na maana ya "teketeza" au "teketezwa", lakini kwa msisitizo zaidi kwa utupu.

Kutegemea muktadha, msemo huu unaweza kutafsiriwa kama "kuharibiwa" au "kuangamizwa" au "kuwekwa kama takataka" au "mpweke/iliyotengwa" au "kutelekezwa"