16 lines
532 B
Markdown
16 lines
532 B
Markdown
# jangwa, njika
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
jangwa, au nyika, ni sehemu iliyokauka, isiyokuwa na mazao ambayo mimea na miti michache inaweza kuota pale.
|
|
|
|
|
|
Jangwa ni eneo la ardhi lenye tabia ya nchi ya ukavu na mimea na wanyama wachache.
|
|
|
|
Kwa sababu ya mazingira magumu, watu wachache sana wanaweza kuishi katika jangwa, kwa hiyo pia inajulikana kama "nyika".
|
|
|
|
"Nyika" inaleta maana ya sehemu iliyojitenga, ya kipekee mbali na watu.
|
|
|
|
Neno hili pia linaweza kutafsiriwa kama "sehemu ya jangwa" au "sehemu iliyojitenga" au "sehemu isiyokaliwa".
|
|
|