sw_tw/bible/other/delight.md

1.0 KiB

Furaha

Ufafanuzi

"Furaha" ni jambo ambalo linamfurahisha mtu sana na kuleta furaha kubwa.

"Kufurahishwa" na jambo ina maana ya "kuwa na furaha" au "kufurahia juu ya" kitu.

Pale ambapo kitu kinakubalika sana au kupendeza kinasemekana kama "furahisha".

Kama furaha ya mtu ipo katika kitu ina maana ya kwamba anakifurahia sana.

Msemo wa, "furaha yangu ipo katika sheria ya Yahwe" inaweza kutafsiriwa kama, "sheria ya Yahwe inanipa furaha kubwa" au "Ninapenda kutii sheria za Yahwe" au "Nina furaha kutii amri za Yahwe".

Misemo "kufurahia" na "kuwa na furaha katika" inaweza kutafsiriwa kama "sifurahishwi kabisa na" au "sina furaha juu ya".

Msemo "kufurahishwa mwenyewe na" ina maana, "anafurahia kufanya" kitu au "ana furaha sana juu ya" kitu au mtu.

Msemo "hufurahia" una maana ya vitu ambavyo mtu hufurahia. Hii inaweza kutafsiriwa kama "starehe" au "vitu vinavyoleta furaha".

Msemo kama wa, "Ninafurahi kufanya mapenzi yako" unaweza kutafsiriwa kama, "Ninafurahi kufanya mapenzi yako" au "Nina furaha sana ninapokutii".