sw_tw/bible/other/decree.md

743 B

amri

Ufafanuzi

Amri ni tamko au sheria ambayo inatolewa kwa umma kwa watu wote.

Sheria za Mungu pia zinajulikana kama makataa, maagizo au amri.

Kama sheria na amri, makataa lazima yanapaswa kufuatwa.

Mfano wa makataa ya mtawala wa kibinadamu ulikuwa ni tangazo la Kaisari Augusto ya kwamba kila mmoja aliyeishi katika milki ya Roma alipaswa kurudi nyumbani kwake ili ahesabiwe katika sensa.

Kutoa amri juu ya jambo ina maana ya kutoa amri ambayo ilikuwa lazima kuitii. Hii inaweza kutafsiriwa kama, "kuamuru" au "kuamrisha" au "kutaka rasmi" au "kuweka sheria kwa umma".

Jambo linalofanywa kuwa "amri" kufanyika ina maana ya kwamba "lazima ifanyike" au "imeamuliwa na haitabadilishwa" au "kutamkwa kwa uhakika ya kuwa itafanyika"