sw_tw/bible/other/cutoff.md

519 B

Kukatwa

Ufafanuzi

Kukatwa ni kitendo cha kuondolewa, kufukuzwa au kutengwa toka kwenye kundi. Pia inaweza kuwa na maana ya kuuawa kama tendo la hukumu kwa ajili ya dhambi.

  • Katika agano la kale kutotii amri za Mungu hupelekea kukatwa au kutengwa na watu wa Mungu na uwepo wake.
  • Mungu pia alisema atawakata au kuwaharibu mataifa ambayo sio Waisraeli kwa sababu hawakumwabudu au kumtii yeye na walikuwa maadui wa Israeli.
  • Pia kukata inaweza kutumika kuonesha Mungu akisababisha mtu kuacha kutiririsha maji.