sw_tw/bible/other/courage.md

604 B

ujasiri, jasiri

Ufafanuzi

Ujasiri ni kitendo cha kukabiliana au kufanya jambo gumu au la hatari.

  • Jasiri ni mtu anayefanya jambo la jema hatakama anahisi kuogopa au anakatishwa tamaa.
  • Mtu anaonesha ujasiri anapokutana na maumivu ya mwili au hisia na kukabiliana nayo.
  • "kuchukua ujasiri" ni "kutoogopa" au "kuwa na uhakika kuwa mambo yatakuwa sawa."
  • Joshua alipokuwa anajiandaa kwenda kwenye nchi hatari ya Kanaani Munsa alimwambia awe mwenye nguvu na jasiri.
  • Ujasiri inaweza kutafsiriwa kama "kutoogopa" au "imara."
  • Kuongea kwa ujasiri inaweza kutafsiriwa kama "kuongea bila kuogopa"