sw_tw/bible/other/counselor.md

523 B

ushauri, mshauri

Ufafanuzi

Ushauri inamaana ya kumsaidia mtu kuamua kwa busara juu ya jambo fulani. Mshauri mwenye busara ni mtu anayetoa ushauri ambao utamsaidia mtu kuamua kwa usahihi.

  • Wafalme wana washauri maalumu wanaowasaidia kuamua mambo ya muhimu juu ya watu wanaowaongoza.
  • Mara nyingine ushauri unaotolewa waweza ukawa mbaya. Mshauri mbaya anaweza kumshauri mfalme kufanya maamuzi ya kuwadhuru watu.
  • Inategemea na mukhtadha ushauri yaweza kutafsiriwa kama "kusaidia kuamua." au "onyo" au "mwongozo."