344 B
344 B
Rushwa
Ufafanuzi
Rushwa ni hali ambayo watu wameharibika,hawana maadili na sio waaminifu.
- Rusha inamaana ya kuharibika kimaadili.
- Mtu ambaye ni fisadi ameacha kabisa kweli na kufanya mambo yasiyofaa na yaliyoharibika.
- Pia kuna kitendo cha kumfanya mtu awe fisadi kwa kumchochea asiwe mwaminifu na afanye mambo yasiyo na maadili.