sw_tw/bible/other/blotout.md

803 B

kufuta

Ufafanuzi

Maneno "kufuta" au "kuondoa" ni vifungu vinavyomaanisha kuondoa kabisa au kuangamisa kitu au mtu.

  • Vifungu hivi vyaweza kutumika katika maana chanya, kama ambavyo Mungu "hufuta" dhambi kwa kusamehe na kuchagua kutokukumbuka tena.
  • Lakini pia yaweza kutumika katika maana mbaya, kama ambavyo Mungu "hufuta" au "kuondoa" kundi la watu, kuwaharibu kwa sababu ya dhambi.
  • Biblia inazungumzia juu ya jina la mtu "kufutwa" au "kuondolewa" katika kitabu cha Mungu, kumaanisha mtu hatapokea uzima wa milele.

Maone ya Kutafasiri

  • Kwa kutegemea mazingira, vifungu hivi vyaweza kutafasiriwa kama "kuondoa" au "kutoa" au " kuharibu kabisa" au "kuondoa kabisa."
  • Kwa kurejerea kufuta jina la mtu katika Kitabu cha Uzima, yaweza kutafasiriwa kama "kuondoa kutoka" au "iliyofutwa."