Shoka
Ufafanuzi
Shoka ni kifaa kinachotumika kukatia miti au mbao.
- Mara nyingi shoka huwa na mpini wa mbao.
- Kama kwenye jamii yako kuna kifaa kinafanana na shoka ni vizuri kutumia jina la kifaa hicho kutafsiri "shoka."
- Namna nyingine ya kutafsiri neno hili ni "kifaa cha kukatia mti au mbao."