sw_tw/bible/other/ash.md

522 B

majivu, vumbi

Ufafanuzi

Majivu ni vumbi la kijivu linalobaki baada ya kuni kuungua. Hutumika pia kama lugha ya picha kuonesha kitu kisicho na thamani.

  • Kwenye Biblia mara nyingine neno "vumbi" linatumika kuzungumzia majivu. pia inaweza kuwa uchafu unaotoka katika ardhi kavu.
  • "Majivu mengi" ni sawa na kusema "rundo la majivu."
  • Zamani kukaa kwenye majivu ilikuwa ishara ya kuomboleza.
  • Wakati wa kuomboleza, ilikuwa ni tamaduni kuvaa mavazi ya magunia, kukaa kwenye majivu nakujipaka majivu kwenye kichwa.